TEMBELEA HII WEBSITE

EMAIL YANGU NI!!!!!!

Thursday, October 23, 2014

NGOMA DRAW YANGA 0-0

Yanga imetoka sare ya bila kufungana katika mechi yake ya 

kirafiki dhidi ya CDA mjini Dodoma, leo.

Mechi hiyo imepigwa kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma 

na kumalizika bila bao huku mechi ikiwa na ushindani utafikiri ya 

ligi kuu.

Yanga iko njiani kwenda Shinyanga kupambana na Stand United 

katika mechi ya Ligi Kuu Bara.

Msemaji wa Yanga, Baraka Kizuguto amesema wataondoka kesho 

asubuhi kwenda Shinyanga tayari kabisa kwa mechi yao dhidi ya 

wenyeji wao stand..




No comments:

Post a Comment